BETHEL SABS GIRLS' SEC.

Image Image Image

Jinsi ya kujiunga na shule yetu

Fomu ya maombi inapatikana katika ofisi ya shule Mafinga kwa gharama ya TSh 20,000/=
Pia unaweza kupakua fomu hiyo kwenye mtandao wetu huu kwa gharama ya TSh 25,000/=

Tafadhali bonyeza hapa kusoma maelezo ya kina kabla ya kulipia fomu

Maelekezo ya kununua fomu mtandaoni

  1. Lipia TSh 25,000/= kwenye mojawapo ya namba zifuatazo
    0673 779 102 
    Jina: BETHEL SECONDARY
    0743 355 344 
    Jina: BETHEL MAFINGA
    Tumia namba ya simu kufanya malipo. Usiweke pesa kwa wakala wala kuhamisha toka benki kuja kwetu moja kwa moja.
    Ukitumia wakala / benki hatutapata namba ya simu iliyofanya malipo hivyo mifumo yetu haitaweza kushughulikia muamala wako
  2. Ndani ya muda mfupi tutakutumia ujumbe kwenye namba uliyoitumia kufanya malipo. Ujumbe huo utakuwa na token.
  3. Bonyeza Pakua fomu. Ingiza namba ya simu uliyotumia kufanya malipo.
  4. Ingiza token tuliyokutumia kwa ujumbe mfupi
  5. Ingiza majina mawili ya mwanafunzi kwenye sehemu husika, kama alivyosajiliwa kwenye mtihani wa darasa la saba.
  6. Chagua lugha atakayoitumia mwanafunzi kufanya mtihani wa kuingia. Iwapo mwanafunzi amemaliza darasa la saba kwenye shule ya English Medium chagua English. La sivyo chagua Kiswahili.
  7. Hakiki jina la mwanafunzi na lugha. Hutaweza kubadilisha baada ya hatua hii. Kama ni sawa bonyeza Hifadhi Taarifa
  8. Pakua fomu. Ichape na ufuate maelekezo yake.
  9. Urudi na fomu ya maombi na vyeti vya mwanafunzi siku ya mtihani, tarehe 23 September 2023, shuleni Mafinga.

Kwa msaada piga namba zifuatazo: